Mvumbuzi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mvumbuzi (kutoka kitenzi kuvumbua; kwa Kiingereza: inventor) ni mtu aliyefaulu kugundua, kubuni na kutengeneza jambo katika jamii kwa mara ya kwanza.

Si lazima awe msomi[1], tena siku hizi mengine yanavumbuliwa na akili mnemba[2].
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads