Kiambishi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kiambishi ni kipande cha neno chenye maana ya kisarufi ambacho kinapachikwa kwa mfano kabla au baada ya mzizi wa neno katika vitenzi na kuwakilisha dhana fulani. [1]

Miongoni mwa viambishi vya Kiswahili mna NI, NDI, KI, KA na kadhalika.

Kiambishi kikitangulia mzizi au kiini cha neno kinaitwa kiambishi awali, kikifuata kinaitwa kiambishi tamati.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads