Kiazi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiazi ni sehemu ya mzizi wa mmea ambayo imekua nene na inahifadhi chakula cha mmea. Mifano ni kiazi kitamu, kiazi kikuu, kiazi cha kizungu na karoti.

Picha
- Viazi vya kizungu
- Viazi vitamu
- Viazi vikuu
- Karoti
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.