Maunzingumu

ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia

Maunzingumu
Remove ads

Maunzingumu (pia maunzi ngumu[1]; kwa Kiingereza: hardware) ni sehemu za kompyuta zinazoshikika . Maunzingumu ni vifaa mbalimbali vinavyounda mashine ya kompyuta, navyo vimegawanyika katika sehemu kuu tatu:

  1. vifaa vya kuingizia data (Input devices),
  2. vifaa vya kutolea data (Output devices) na
  3. vifaa katika tarakilishi (Kadi ya mtandao, Kadi ya sauti, diski kuu).
Thumb
Bongo kuu inayoitwa PDP-11-M7270.

Maunzingumu haina kazi bila programu na data za maunzilaini.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads