Wahome Mutahi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wahome Mutahi (24 Oktoba 1954 – 22 Julai 2003) alikuwa mwandishi mpendwa sana katika Kenya. Aliitwa Whispers kama jina la "column" aliyoiandika kwa The Daily Nation.
Aliandika pia tamthilia na vitabu. Alikuwa mtu mwenye siasa, na mhakiki mkali, lakini kila wakati alitumia ucheshi.
Viungo vya nje
- Wahome Mutahi: the passing on of a Kenyan legend (kwa Kiingereza) Ilihifadhiwa 17 Februari 2007 kwenye Wayback Machine.
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads