Wanda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kwa dhana ya jiometri na hisabati, angalia makala ya Pandeolwa


Wanda (wingi: "nyanda") ni kipimo cha urefu kinacholingana na upana wa kidole kimoja au karibu inchi moja. Vipimo vya kufanana vilitumiwa katika nchi na tamaduni mbalimbali kwa kutumia upana wa kidole gumba.[1]
Ni kati ya vipimo asilia vya Kiswahili, si kipimo sanifu cha kisasa.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads