Yaren

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yaren
Remove ads

Yaren (zamani iliitwa pia "Makwa") ni tarafa kwenye nchi ya kisiwani cha Nauru yenye nafasi ya mji mkuu. Eneo lake ni 1.5 km² kuna wakazi 1,100 (2003).

Thumb
Yaren

Kisheria hakuna mji mkuu nchini Nauru lakini karibu majengo yote ya serikali pamoja na bunge yapo Yaren.

Picha za Yaren

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads