Eneo bunge la Yatta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eneo bunge la Yatta
Remove ads

Eneo bunge la Yatta ni mojawapo ya Majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Kaunti ya Machakos, Mashariki mwa Kenya, ni miongoni mwa majimbo nane ya kaunti hiyo.

Remove ads

Historia

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Kwanza wa Kenya mnamo 1963.

Wabunge

Maelezo zaidi Uchaguzi, Mbunge ...
Remove ads

Kata na Wodi

Maelezo zaidi Kata, Idadi ya Watu ...
Maelezo zaidi Wodi, Wapiga Kura Waliojiandikisha ...

Tazama Pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads