Mlangobahari wa Yucatan

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mlangobahari wa Yucatan
Remove ads

Mlangobahari wa Yucatan (kwa Kihispania: Canal de Yucatán, kwa Kiingereza: Yucatan Channel) ni sehemu nyembamba ya bahari iliyopo kati ya Rasi ya Yucatan ya Mexiko upande wa magharibi na Kisiwa cha Kuba upande wa mashariki.

Thumb
Mlangobahari wa Yucatan iko kati ya Mexiko na Kuba

Unaunganisha Bahari ya Karibi na Ghuba ya Mexico. Upana wake ni takribani kilomita 200 na kina chake kirefu kinafikia mita 2,800.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads