Zamalek

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zamalek
Remove ads

Zamalek (Ar. الزمالك (az-zamalek) ni mtaa wa Kairo mji mkuu wa Misri. Iko kwenye kisiwa cha jazira kilichopo ndani ya Mto Naili kwenye eneo la Kairo. Kwenye kisiwa hiki zamalek ni sehemu ya kaskazini lakini wakati mwiongine kisiwa chote huitwa pia "Zamalek".

Thumb
Kisiwa cha Jazira penye mtaa wa Zamalek mjini Kairo

Zamalek ni eneo tajiri penye ofisi za makampuni ya kimataifa na balozi mbalimmbali.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads