Zenoni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Zenoni ( kut. kigiriki ξένος ksenos “kigeni” kwa sababu wafumbuzi wa kwanza waliikuta mahali wasipoitegemea) ni elementi yenye namba atomia 54 kwenye mfumo radidia na uzani atomia 131.293. Alama yake ni Xe.
Remove ads
Tabia
Ni gesi adimu inayopatikana katika angahewa haina rangi wala herufu. Kama gesi adimu zote ni bwete na kutomenyuka kirahisi na kitu kingine;
Matumizi
Matumizi yake ni hasa katika aina mbalimbali za taa kwa sababu inasaidia balbu kuwa na mwanga mkali zaidi. Magari ya kisasa mara nyingi hutumia balbu za Zenoni zinatotoa mwanga mkali kwa matumizi madogo ya umeme.
Zenoni hutumiwa pia kwa vyombo vya angani kama kisukumaji. Kama gesi bwete haimenyuki na tangi na mapipa; kwa kanieneo kubwa hukaa thabiti kama kiowevu hadi halijoto ya chumbani; inageuzwa rahisi kuwa tena gesi kwa ajili ya injini.
- Zenoni ikitumiwa katima mmweko wa picha kutoa mwanga mkali
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads