Ziwa (maana)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ziwa ni neno la Kiswahili ambalo linaweza kumaanisha:
- Ziwa (kiungo katika mwili wa binadamu) – Ni sehemu ya kiungo cha mwanadamu kilichopo kifuani. Kiungo hiki hutumika kwa wanawake kumnyonyeshea maziwa mtoto.
- Ziwa (mkusanyiko wa maji) – Neno ziwa jina ambalo humaanisha mkusanyiko mkubwa wa maji mahali pamaoja katika eneo kubwa yanayotokana na mito mbalimbali ambayo humwaga maji yake humo.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads