Ziwa Logipi

Mwili wa maji From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Ziwa Logipi ni kati ya maziwa ya Kenya, likiwa kaskazini mwa bonde la Suguta (katika Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki, kaunti ya Turkana).

Ni ziwa la chumvi lenye ukubwa wa km 6 x 3 na kina cha mita 3 hadi 5.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads