Zizi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zizi
Remove ads

Zizi ni mahali wanapokaa wanyama wanaofugwa nyumbani kama vile ng'ombe na kuku.

Thumb
Zizi kubwa la kisasa.

Namna ya kulitengeneza inategemea aina ya mifugo, lakini pia mazingira na utamaduni.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads