Zizi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Zizi ni mahali wanapokaa wanyama wanaofugwa nyumbani kama vile ng'ombe na kuku.
Namna ya kulitengeneza inategemea aina ya mifugo, lakini pia mazingira na utamaduni.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads