Grafati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Grafati
Remove ads
Remove ads

Grafati (kwa Kiingereza: graphite) ni umbo la pekee la elementi kaboni linalopatikana kwa fuwele za pembesita.

Thumb
Kipande cha grafati
Thumb
Kichwa cha penseli za grafati

Grafati ni umbo linalotokea kiasili ikiwa ni umbo thabiti zaidi la kaboni katika hali sanifu. Ikiathiriwa na joto kali na shinikizo kubwa inageuka kuwa almasi.

Inatokea kiasili katika fomu hii na ni aina ngumu zaidi ya kaboni chini ya hali ya kawaida. Chini ya shinikizo kubwa na joto hubadilika kuwa almasi.

Matumizi ya grafati yapo katika penseli na ulainishaji. Grafati ni kipitishi kizuri cha joto na umeme. Uwezo huu unaipa nafasi muhimu katika teknolojia ya elektroniki kama vile elektrodi, beteri na paneli za sola.

Grafati hutokea ndani ya miamba metamofia ambako inachimbwa ama katika mashimo ya wazi au chini ya ardhi. Akiba kubwa za grafati zilitambuliwa katika Wilaya ya Ruangwa (Mkoa wa Lindi) na kampuni ya Uranex iliyo mali ya Magnis Energy Technologies ya Australia imepata laiseni ya kuchimba grafati kwenye eneo la kilomita za mraba 30[1].

Remove ads

Kusoma zaidi

  • C.Michael Hogan; Marc Papineau; et al. (December 18, 1989). Phase 1 Environmental Site Assessment, Asbury Graphite Mill, 2426–2500 Kirkham Street, Oakland, California, Earth Metrics report 10292.001 (Report).
  • Klein, Cornelis; Cornelius S. Hurlbut, Jr. (1985). Manual of Mineralogy: after Dana (tol. la 20th). ISBN 978-0-471-80580-9.
  • Taylor, Harold A. (2000). Graphite. Financial Times Executive Commodity Reports. London: Mining Journal Books ltd. ISBN 978-1-84083-332-4.
  • Taylor, Harold A. (2005). Graphite. Industrial Minerals and Rocks (tol. la 7th). Littleton, CO: AIME-Society of Mining Engineers. ISBN 978-0-87335-233-8.
Remove ads

Marejeo

Loading content...

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads