alama

From Wiktionary, the free dictionary

Remove ads

Kiswahili

Nomino

alama

  • mchoro au kitu cha kutambulisha kitu; ishara, athari, kielezo pia

alama ya cheo- kitu kinachoonyesha cheo cha mtu kama vile beji, tepe na kadhalika

alama za barabarani- ishara au michoro ya usalama ya barabarani

alama

(sarufi) (katika uakifishaji)alama ya kuulizaalama katika maandishi(?) inayoashiria swali; alama ya mshangao alama katika maandishi(!) inayoashiria kushangaa; alama ya dukuduku alama katika maandishi(...) inayoashiria taharuki, msomaji ajalie mwenyewe au neno au maneno yameachwa, na kadhalika

$ {{infl|sw|nomino]]$

Tafsiri

Remove ads

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads