Chuo Kikuu cha Stellenbosch
From Wikipedia, the free encyclopedia
Stellenbosch University (awali Chuo Kikuu cha Stellenbosch / Universiteit van Stellenbosch) ni chuo kikuu cha umma cha utafiti katika mji wa Stellenbosch, Afrika Kusini. Vyuo vingine vilivyo karibu ni Chuo Kikuu cha Cape Town na Chuo Kikuu cha Western Cape.
Chuo Kikuu cha Stellenbosch | |
---|---|
Universiteit van Stellenbosch | |
Staff | 2,430 |
Wanafunzi | 26,243 |
Wanafunzi wa shahada ya kwanza | 15,869 |
Wanafunzi wa uzamili | 9,233 |
Mahali | {{{mji}}} |
Rangi | Maroon |
Msimbo | Maties |
Mascot | Squirrel[1] |
Affiliations | AAU, ACU, CHEC, HESA, IAU |
Faili:MatiesLogo.png |
Stellenbosch University ilisanifu na kuunda microsatellite ya kwanza barani Afrika, SUNSAT, iliyozinduliwa mwaka wa 1999.
Wanafunzi hupewa jina la msimbo Maties . Baadhi wanadai kuwa jina hili linatokana na sare yao ya mchezo wa raga yenye rangi ya maroon: tamatie ni jina la Kiafrikaans la nyanya. Inaelekea zaidi kutoka kwa lahaja ya Kiafrikaans Maat (maana yake "rafiki" au "mwenzi") lililotumiwa sana hapo awali na wanafunzi wa mtangulizi wa Chuo Kikuu cha Cape Town, Chuo cha Afrika Kusini.