Njiwa ni ndege wakubwa kiasi wa jenasi Columba na Patagioenas katika familia Columbidae. Spishi nyingine huitwa kunda pia.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Njiwa |
Kunda madoa |
Uainishaji wa kisayansi |
Himaya: |
Animalia (Wanyama)
|
Faila: |
Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
|
Nusufaila: |
Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
|
Ngeli: |
Aves (Ndege)
|
Oda: |
Columbiformes (Ndege kama njiwa)
|
Familia: |
Columbidae (Ndege walio na mnasaba na njiwa) Leach, 1820 |
Nusufamilia: |
Columbinae (Ndege walio mnasaba na njiwa) Leach, 1820 |
|
Ngazi za chini |
Jenasi 2; spishi 53, 20 katika Afrika:
- Columba Linnaeus, 1758
- C. albinucha Sassi, 1911
- C. albitorques Rüppell, 1837
- C. arquatrix Temminck, 1808
- C. bollii Godman, 1872
- C. delegorguei Delegorgue, 1847
- C. guinea Linnaeus, 1758
- C. iriditorques Cassin, 1856
- C. junoniae Hartert, 1916
- C. larvata Temminck, 1809
- C. livia Gmelin, 1789
- C. malherbii J.Verreaux & E.Verreaux, 1851
- C. oenas Linnaeus, 1758
- C. oliviae Clarke, 1918
- C. palumbus Linnaeus, 1758
- C. pollenii Schlegel, 1865
- C. simplex (Hartlaub, 1849)
- C. sjostedti Reichenow, 1901
- C. thomensis Bocage, 1888
- C. trocaz Heineken, 1829
- C. unicincta Cassin, 1859
- Patagioenas Reichenbach, 1852
|
Funga
Wana rangi ya kijivu na nyeupe na pengine kuna rangi ing'aayo ya buluu au zambarau.
Wanatokea mazingira yote yenye miti. Njiwa hula mbegu, matunda na mimea. Hujenga tago lao la vijiti kwa miti au miwamba. Jike hutaga mayai mawili kwa kawaida na makinda wapewa dutu inayofanana na maziwa. Dutu hii inatungwa katika gole la ndege.