Amber Barrett
From Wikipedia, the free encyclopedia
Amber Barrett (alizaliwa 16 Januari 1996) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa nchini Ireland ambaye anacheza katika klabu ya wanawake ya FC Köln nchini Ujerumani. Alicheza kwa mara ya kwanza kwenye timu ya taifa ya wanawake ya Jamhuri ya Ireland mnamo Septemba 2017. Akiwa kama mshambuliaji mzuri, Barrett alikuwa Mchezaji wa WNL wa msimu mwaka 2017 na mchezaji bora mwaka 2016, 2017 na 2018.[1][2]
Ukweli wa haraka Jinsia, Nchi ya uraia ...
Amber Barrett
Jinsia | mwanamke |
---|---|
Nchi ya uraia | Eire |
Jina halisi | Amber |
Jina la familia | Barrett |
Tarehe ya kuzaliwa | 16 Januari 1996 |
Mahali alipozaliwa | Milford |
Kazi | association football player |
Nafasi anayocheza kwenye timu | Forward (association football) |
Mwanachama wa timu ya michezo | 1. FC Köln Frauen |
Mchezo | Mpira wa miguu |
Funga