Chuo Kikuu cha Pwani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Chuo Kikuu cha Pwani ni chuo kikuu ambacho kiko katika eneo ya ekari mia sita karibu na mji wa Kilifi, nchi ya Kenya[1].
Falsafa ya chuo kikuu hiki ni kuwa shule ya “ubunifu, mabadiliko, na usikivu.[2] Kuna shule saba tofauti Chuo Kikuu cha Pwani ambazo wanafunzi wanaweza kusoma masomo mengi tofauti.