From Wikipedia, the free encyclopedia
Göteborg ni mji mkubwa wa pili nchini Uswidi upande wa magharibi ya nchi. Idadi ya wakazi ni 507,330. Mji uliundwa mwaka 1621.
| |
Eneo - Mji - Mkoa wa Jiji | 198.16 km² 450 km² |
Wakazi (2006-01-01) - Mji - Mkoa wa Jiji - Msongamano (mji/jiji) |
507,330 917,984 1,127.4/km² / 247/km² |
Kanda la wakati | Ulaya ya Kati: UTC+1 |
Latitudo Longitudo |
57°42' N 11°58' E |
Eneo lake ni 198.16 km². Mji uko pande zote mbili za mto Göta
Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Göteborg kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.