Gladys Lengwe
Mwamuzi wa Soka wa Zambia From Wikipedia, the free encyclopedia
Mwamuzi wa Soka wa Zambia From Wikipedia, the free encyclopedia
Gladys Lengwe (alizaliwa 6 Februari, 1978), ni mwamuzi wa mpira wa miguu wa kimataifa kutoka nchini Zambia. [1] [2]
Alikuwa mmoja wa waamuzi katika Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake mwaka 2019 nchini Ufaransa. [3] [4]
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.