![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/71/Hades-et-Cerberus-III.jpg/640px-Hades-et-Cerberus-III.jpg&w=640&q=50)
Hades
From Wikipedia, the free encyclopedia
Hades (Kigiriki cha Kale: ᾍδης, Hadēs; kutoka Ἅιδης, Haidēs au Άΐδης, Aidēs; Kidoriki: Ἀΐδας, Aidas) ni mungu wa kuzimu na bwana wa waliokufa katika mitholojia ya Kigiriki. Analingana na Pluto katika dini ya Roma ya Kale.[1]
Ukweli wa haraka Makao, Alama ...
Hades | |
---|---|
![]() Sanamu ya Hade na mbwa mwenye vichwa vitatu Serbero | |
Mfalme wa Kuzimu Mungu wa Waliokufa | |
Makao | Kuzimu |
Alama | Serbero, Helmeti ya Giza, Muhuhu, Narsisi, Ufunguo wa Hade |
Mwenzi | Persefona |
Wazazi | Krono na Rea |
Ndugu | Poseidoni, Demetra, Hestia, Hera na Zeu |
Watoto | Makaria, Melinoe, Zagreo na Plutu |
Ulinganifu wa Kirumi | Pluto, Dis Pater, Orcus |
Ulinganifu wa Kietruski | Aita |
Funga