From Wikipedia, the free encyclopedia
Muslim ibn al-Hajjaj (jina lake kamili lilikuwa: Abu al-Husayn ‘Asakir ad-Din Muslim ibn al-Hajjaj ibn Muslim ibn Ward ibn Kawshadh al-Qushayri an-Naysabūrī, lakini alijulikana zaidi kama Imam Muslim; 815 - 875)[1] anajulikana kwa mkusanyiko wake wa Hadithi za Mtume Muhammad unaokubaliwa kuwa mkusanyiko muhimu pamoja ule ya Al-Bukhari. Unajulikana kama Sahih Muslim[2].
Muslim alizaliwa Nishapur katika mkoa wa Khorasan, iliyopo katika Iran ya kaskazini-mashariki ya leo. Kufuatana na mapokeo alikuwa Mwajemi au Mwarabu[3].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.