From Wikipedia, the free encyclopedia
Jina rasmi la nchi, mtu, taasisi n.k. ni lile linalokubalika kisheria, hata kama ni tofauti na lile lililozoelekaz zaidi, kama jina fupi, jina la kisanii, jina la kitawa n.k.
Dola la Roma liliruhusu watu kujibadilisha jina, mradi kusiwe na lengo la kijanja au kusababisha hatari[1], lakini siku hizi nchi nyingi zimepanga taratibu ngumu.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.