Kanisa la Ungamo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kanisa la Ungamo (kwa Kijerumani: Bekennende Kirche, kwa Kiingereza: Confessing Church) lilikuwa harakati ndani ya Uprotestanti wa Ujerumani wakati wa utawala wa Adolf Hitler. Ilipinga juhudi zilizofadhiliwa na serikali ya Wanazi za kuunganisha makanisa yote ya Kiprotestanti kuwa kanisa moja la kushikamana na serikali yao.[1]