Karthago
From Wikipedia, the free encyclopedia
Karthago (kwa Kilatini Carthago; kwa Kigiriki Καρχηδών Karchēdōn; katika lugha asilia ya Kifinisia Qart-Hadašt, yaani "mji mpya") zaidi ya miaka 2000 iliyopita ulikuwa mji mkubwa katika Afrika ya Kaskazini karibu na Tunis ya leo nchini Tunisia.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/50/CarthageMapDe.png/640px-CarthageMapDe.png)
Maghofu yake yameorodheshwa na UNESCO kama urithi wa dunia.