Limpopo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Limpopo ni jimbo la kaskazini kabisa la Afrika Kusini. Mji mkuu ni Polokwane (zamani Pietersburg). Jimbo liliundwa kutokana na sehemu ya kaskazini ya jimbo la Transvaal ya awali na maeneo ya bantustan Venda na Lebowa.
Eneo | 123,900 km² |
Wakazi(2001) | 5,273,637 |
Lugha | Sepedi, Venda, Tsonga |
Wakazi kimbari | Waafrika Weusi(97.3%) Wazungu(2.4%) Chotara(0.2%) Wenye asili ya Asia (0.1%) |
Mji Mkuu | Polokwane |
Waziri Mkuu | Sello Moloto (ANC) |
Jina limetokana na mto Transvaal ambao ni mpaka wa jimbo na nchi jirani ya Zimbabwe.