Polokwane
From Wikipedia, the free encyclopedia
Polokwane (kwa Kiafrikaans: Pietersburg) ni manisipaa ya Afrika Kusini na mji mkuu wa Jimbo la Limpopo. Mji una wakazi nusu milioni.
Ukweli wa haraka Nchi, Majimbo ...
Jiji la Polokwane | |
Mahali pa mji wa Polokwane katika Afrika Kusini |
|
Majiranukta: 23°53′24″S 29°27′0″E | |
Nchi | Afrika Kusini |
---|---|
Majimbo | Limpopo |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 123,749 |
Tovuti: www.polokwane.org.za |
Funga