Makazi ya kuhifadhi wanyama
From Wikipedia, the free encyclopedia
Makazi ya kuhifadhi wanyama ni mahali ambapo wanyama waliopotea, walioachwa, hasa mbwa na paka, na wakati mwingine wanyamapori majeruhi au wagonjwa huhifadhiwa na kutibiwa.
Ingawa kuna makazi yasiyoruhusu wanyama kuuliwa, wakati mwingine sera ya kuua wanyama wagonjwa au wanyama wasiochukuliwa haraka na wamiliki wao hutumika. Huko Ulaya, nchi 30 zilijumuishwa kwenye utafiti, ni nchi nne tu ambazo zinaruhusu mauaji ya mbwa wenye afya waliopotea. Nchi hizo ni Ucheki,[1] Ujerumani, Ugiriki na Italia.[2]