Malaika Mihambo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Malaika Mihambo (alizaliwa Heidelberg, Ujerumani, 3 Februari 1994) ni mwanariadha kutoka nchini Ujerumani aliyeshinda mashindano ya kilimwengu ya kuruka chini mwaka 2019.
Kwenye Michezo ya Olimpiki 2021 huko Tokyo alipata medali ya dhahabu kwenye mashindano ya kuruka chini.