Batman (kifupi cha milima ya Bati Raman) ni jina la mkoa uliopo nchini Uturuki, ambao unajulikana sana kwa kuwa na Wakurdi wengi sana[1][2]. Upo mjini kusini-mashariki mwa Anatolia. Mkoa una idadi ya wakazi wapatao 500,000.
Mkoa wa Batman | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Batman nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Kusinimashariki ya Anatolia |
Eneo: | 4694 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 518,020 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 72 |
Kodi ya eneo: | 0488 |
Tovuti ya Gavana | http://www.batman.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/batman |
Wilaya za mkoani hapa
Mkoa wa Batman umegawanyika katika wilaya 6 (mji mkuu umekoozeshwa):
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.