Umoja wa Mungu ni hoja iliyotetewa na falsafa na imani ya dini mbalimbali, ya kwamba kuna Mungu mmoja tu, ambaye ni mkuu kabisa kuliko vitu vyote na ni nafsi[1][2]

Mbali na wanafalsafa kama vile wale wa Shule ya Athene (Sokrates, Plato na Aristotle), imani hiyo ilishikwa toka zamani na dini kama vile Atenism, Baha'i, Cao Dai, Cheondoism (Cheondogyo), Deism, Eckankar, Kalasinga, Rastafari, Tenrikyo, Uislamu, Ukristo, Uyahudi na Uzoroastro.[3]

Kutokana hasa na wingi wa waumini wa Ukristo na Uislamu, siku hizi zaidi ya nusu ya binadamu wote wanakiri umoja huo.

Tanbihi

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.