![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d4/Pelikan_Walvis_Bay.jpg/640px-Pelikan_Walvis_Bay.jpg&w=640&q=50)
Mwari
Jenasi ya ndege wakubwa wa maji walio na domo kubwa sana / From Wikipedia, the free encyclopedia
Wari (pia miari au wali) au wendambize ni ndege wakubwa wa maji wa jenasi Pelecanus, jenasi pekee ya familia Pelecanidae, wenye domo kubwa na rangi nyeupe au kijivu. Ndege hawa huvua samaki kwa makundi. Domo lao la chini ni ngozi inayoweza kunyoka na kuumba mfuko ili kuuwekea samaki kwa kitambo. Jike huyataga mayai mawili ardhini au kwa tago la matete na matawi kati ya matete, juu ya mti mrefu au juu ya mwamba wa bahari.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Mwari | ||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mwari mweupe
| ||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||
| ||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||
Spishi 8:
| ||||||||||||
Funga