![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/62/Nikola_from_1294.jpg/640px-Nikola_from_1294.jpg&w=640&q=50)
Nikolasi wa Myra
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nikolasi wa Myra (Mtakatifu Nikolasi kwa Kigiriki Ἅγιος Νικόλαος agios nikolaos; 270 – 6 Desemba 343),[1][2] alikuwa askofu wa mji wa Myra akaendelea kuwa mmoja wa watakatifu maarufu zaidi wa Kanisa la Kikristo.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/62/Nikola_from_1294.jpg/640px-Nikola_from_1294.jpg)
Tarehe 6 Desemba ni sikukuu yake[3] inayosheherekewa na Wakristo Wakatoliki, Waorthodoksi na pia na sehemu ya Waprotestanti katika Ulaya ya kati na kaskazini.