From Wikipedia, the free encyclopedia
Ob (kwa Kirusi: Обь) ni mto wa Urusi. Urefu wake ni km 3650. Unapita katika mikoa ya Altai Krai, Novosibirsk Oblast, Tomsk Oblast, Mkoa Huru wa Hanty-Mansi na Mkoa Huru wa Yamalo-Nenets.
Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ob kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.