Orodha ya Makamu wa Rais Tanzania
From Wikipedia, the free encyclopedia
Orodha ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni cheo cha pili kwa ukubwa kisiasa nchini Tanzania.
Ukweli wa haraka
Tanzania |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Funga
Historia ya walioshika ofisi ni hawa wafuatao:
Maelezo zaidi Jina, Ameingia Ofisini ...
Jina | Ameingia Ofisini | Ameondoka Ofisini |
---|---|---|
Abeid Amani Karume | 1965 | 1972 |
Mwinyi Aboud Jumbe | 1972 | 1984 |
Ali Hassan Mwinyi | 1984 | 1985 |
Joseph Sinde Warioba | 1985 | 1990 |
John Samuel Malecela | 1990 | 1994 |
Cleopa David Msuya | 1994 | 1995 |
Omar Ali Juma | 1995 | 2001 |
Ali Mohamed Shein | 2001 | 2010 |
Mohamed Gharib Bilal | 2010 | 2015 |
Samia Hassan Suluhu | 2015 | 2021 |
Philip Isdor Mpango | 2021 |
Funga