Papa Alexander VIII
From Wikipedia, the free encyclopedia
Papa Alexander VIII (22 Aprili 1610 – 1 Februari 1691) alikuwa Papa kuanzia tarehe 6/16 Oktoba 1689 hadi kifo chake[1]. Alitokea Venezia, Italia[2].
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pietro Vito Ottoboni.
Alimfuata Papa Inosenti XI akafuatwa na Papa Inosenti XII.