From Wikipedia, the free encyclopedia
Pembe za ndovu ni meno yalioendelea na kuongezeka mbele na mara nyingi hupatikana zaidi katika vinywa vya mamalia, hasa tembo, lakini pia kifaru n.k.[1][2]
Bei ya pembe hizo ni kubwa hivi kwamba imechangia sana kufanya watu wajiingize katika ujangili na hatimaye kupunguza vibaya idadi ya wanyama hao, pengine kiasi cha kuhatarisha spishi nzima. Ndiyo sababu biashara ya pembe hizo imebanwa sana na Umoja wa Mataifa na nchi mbalimbali.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.