Peter Utaka
Mchezaji wa soka wa Nigeria / From Wikipedia, the free encyclopedia
Peter Utaka (alizaliwa 12 Februari 1984) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Nigeria. Aliwahi kucheza timu ya taifa ya Nigeria.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/7b/Peter_Utaka_2011.jpg/200px-Peter_Utaka_2011.jpg)
Utaka ameichezea timu ya taifa ya Nigeria tangu mwaka wa 2010. Utaka alicheza Nigeria katika mechi 8, akifunga mabao 3.[1]