From Wikipedia, the free encyclopedia
Reno ni mji wa Marekani katika jimbo la Nevada. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 377,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 1373 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Reno | |||
| |||
Mahali pa mji wa Reno katika Marekani |
|||
Majiranukta: 39°31′38″N 119°49′19″W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Nevada | ||
Wilaya | Washoe | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 214,853 |
www.reno.gov Archived 11 Mei 2012 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Reno, Nevada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.