Nevada

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nevada
Remove ads

Nevada ni jimbo la Marekani upande wa magharibi ya nchi. Mji mkuu ni Carson City na mji mkubwa ni Las Vegas. Imepakana na Oregon, Idaho, Utah, Arizona na California.

Thumb
Sehemu ya Jimbo la Nevada
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...

Jimbo lina wakazi wapatao 2,600,167 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 286,367.

31 Oktoba 1864 Nevada ikawa jimbo la 36 la Marekani.

Thumb
Remove ads

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nevada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads