Shelisheli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Shelisheli ni funguvisiwa na jamhuri katika Bahari Hindi, mashariki kwa mwambao wa Afrika Mashariki na kaskazini kwa Madagaska.
| |||
Wito: Finis Coronat Opus. (Kilatini "Matokeo ni taji la kazi") | |||
Lugha rasmi | Seselwa, Kiingereza, Kifaransa | ||
Mji Mkuu | Victoria | ||
Serikali | Jamhuri | ||
Rais | Wavel Ramkalawan[1] | ||
Eneo | km² 459 | ||
Idadi ya wakazi | 97,096 (2018) | ||
Wakazi kwa km² | 205.3 | ||
Uhuru | 29 Juni 1976 (kutoka Uingereza) | ||
Pesa | Rupia ya Shelisheli | ||
Wakati | UTC +4 | ||
Wimbo la taifa | Koste Seselwa | ||