![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8f/Norden.jpg/640px-Norden.jpg&w=640&q=50)
Skandinavia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Skandinavia ni eneo la Ulaya ya Kaskazini. Kwa kawaida neno linataja nchi tano za Norwei, Uswidi, Udani, Ufini na Iceland.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8f/Norden.jpg/640px-Norden.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/thumb/b/b4/Skandinavia_theluji.png/320px-Skandinavia_theluji.png)
Kwa maana nyingine "Skandinavia" ni nchi mbili za rasi ya Skandinavia pekee, yaani Norwei na Uswidi.
Lugha za Skandinavia ziko karibu sana; zote ni Kigermanik ya Kaskazini isipokuwa Kifini ambacho ni lugha yenye asili ya Asia.