Tel Aviv
From Wikipedia, the free encyclopedia
Tel Aviv-Yafa (kwa Kiebrania תֵּל־אָבִיב-יָפו; kwa Kiarabu تَلْ أَبِيبْ-يَافَا) ni mji mkubwa wa pili nchini Israel, wenye wakazi 460,613 (2019)[1]. Rundiko la mji kuna watu zaidi ya milioni 3. Mji uko kando ya bahari ya Mediteranea.