From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1836 ulikuwa wa 13 katika historia ya Marekani. Ukafanywa tarehe 3 Novemba hadi 7 Desemba. Upande wa "Democratic Party", Kaimu Rais Martin Van Buren (pamoja na kaimu wake Richard M. Johnson) aliwashinda wagombea wa "Whig Party" William H. Harrison (pamoja na kaimu wake Francis Granger), Hugh L. White (pamoja na kaimu wake John Tyler), Daniel Webster (pamoja na Francis Granger tena) na Willie Person Mangum (pamoja na John Tyler tena).
Van Buren akapata kura 170, na wagombea wa "Whig" 124. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.