From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1936 ulikuwa wa 38 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 3 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Franklin D. Roosevelt (pamoja na kaimu wake John Nance Garner) alimshinda mgombea wa "Republican Party" Alf Landon (pamoja na kaimu wake Frank Knox).
Roosevelt akapata kura 523 na Landon nane tu. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.