Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1916
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1916 ulikuwa wa 33 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 7 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Woodrow Wilson (pamoja na kaimu wake Thomas Marshall) alimshinda mgombea wa "Republican Party" Charles Hughes (pamoja na kaimu wake Charles Fairbanks).
Wilson akapata kura 277, na Hughes 254. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.