Çorum

From Wikipedia, the free encyclopedia

Çorum
Remove ads

Çorum ni mji uliopo kaskazini mwa Anatolia ambao ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Çorum katika Uturuki. Mji wa Çorum upo katika ardhi ya kati ya Bahari Nyeusi ya Uturuki, takriban km 244 kutoka mji wa Ankara na 608 kutoka mjini Istanbul. Mji una futi za maporomoko zipatayo 801 kutoka UB, eneo la tambarare ni 12,820 km² (4950 mi²), na kwa sensa ya mwaka wa 2004, idadi ya wakazi imefikia 178,500.[1]

Thumb
Mageti ya Simba yaliyokaribuni na mji wa Çorum.
Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads