Ankara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ankara ni mji mkuu wa Uturuki. Iko katika kitovu cha Anatolia kwenye kimo cha 938 m juu ya UB.[1] Huu ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Ankara.

Ankara ni mji mkubwa wa pili nchini baada ya Istanbul. Kuna wakazi 4,319,167 (2005).
Remove ads
Historia
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads